MTIBWA SUGAR YAICHARAZA AZAM FC 2-0 NA KUTWAA NGAO YA MATUMAINI

KIKOSI cha pili cha Azam fc kimepigwa mabao 2-0 dhidi ya Mtibwa Sugar katika mechi maalumu ya kirafiki ya Tamasha la Usiku wa Matumaini u...
MOTO WA SERENGETI FIESTA 2014 KUWASHWA KESHO JIJINI MWANZA

Meneja Bidhaa wa Bia ya Serengeti, Rodney Rugambo (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari jijini Mwanza leo wakati uzinduzi wa tama...
DIAMOND PLATNUMZ ALIVYO MILIKI JUKWAA JANA UCKU MWANZA MWANZA

Fiesta ilianza kunguruma Jana kwenye viwanja vya CCM Kirumba ambapo mkali wa Bongofleva Diamond Platnumz alifanya vitu vyake . Hizi ni baad...
MIKEL ARTETA KUBEBESHWA BEJI YA UNAHODHA ARSENAL

Anapanda cheo: Mikel Arteta, ambaye kwa sasa ni nahodha msaidizi wa Asernal anatarajiwa kupandishwa na kuwa nahodha. ARSENE Wenger a...
KOMBE LA KAGAME KUTIMUA VUMBI LEO, AZAM FC KUTUPA KARATA YA KWANZA NA RAYON

Na Baraka Mpenja MICHUANO ya Kombe la Kagame inaanza kutimua vumbi leo hii Agost 8 hadi 24 mwaka huu mjini Kigali nchini Rwanda, ambap...
DIAMOND PLATINUMZ KUSHUSHA BURUDANI YA KUFA MTU ‘SIMBA DAY’

MSANII maarufu wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ atatoa burudani ya kufa mtu katika tamasha la ‘Simba Day...
REAL MADRID WAIFANYIA’ UMAFIA’ LIVERPOOL USAJILI WA RADAMEL FALCAO

Nyota anayewidnwa: Mshambuliaji wa Monaco, Radamel Falcao (kushoto) anawindwa na klabu za Real Madrid na Liverpool majira haya ya kianga...
YANGA SC WAIBUKA NA KUIPA MAKAVU ‘LAIVU’ CECAFA, WASEMA INALICHIMBIA SOKA KABURI

Katibu Mkuu wa Young Africans Bw Beno Njovu akiongea na waandishi wa habari leo makao makuu ya klabu ya Yanga, kushoto kwake ni Kocha Mku...
FRANK LAMPARD ASAINI MKATABA WA MIEZI SITA KWA MKOPO MACHASTER CITY

Dili limetiki: Frank Lampard amejiunga na Man City kwa mkopo. MANCHESTER City wamethibitisha kumsajili kiungo wa zamani wa Chelsea...
KURUNZI YA SIMBA SC YAENDELEA KUNASA VIFAA KUSAKA MOTO WA LIGI KUU BARA

Na Baraka Mpenja, Dar es salaam WEKUNDU wa Msimbazi wamefanikiwa kumsajili beki wa kushoto wa Coastal Union Abdi Banda baada ya kumuwek...
TOP 10 MOST EXPENSIVE TRANSFERS OF SUMMER 2014:suarez aongoza katika dirisha la ushajili ghali kwa msimu huu

No. Player From To Total fee 1 Luis Suarez Liverpool Barcelona €88m 2 James Rod...
AZAM FC KUKWEA PIPA KESHO KWENDA KIGALI, KIONGOZI TFF KUONGOZA MSAFARA

Na Boniface Wambura, TFF Azam FC ndiyo itakayoiwakilisha Tanzania Bara kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kombe ...
FRANK LAMPARD ANAWEZA KUFIKIA REKODI YA KUCHEZA MECHI 1,000 AKIWA MANCHESTER CITY

FRANK James Lampard, mwenye miaka 36, mpaka sasa amecheza mechi 973 kwa klabu na nchi yake katika maisha ya soka. Anahitaji mechi 27 tu...
BREAKING NEWZZZZZ! CECAFA YAKIPIGA CHINI KIKOSI B CHA YANGA SC, YATAKA KIKOSI CHA KWANZA, WAKIZINGUA AZAM FC WANAPEWA NAFASI

TAARIFA zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa baraza la vyama vya michezo kwa ukanda wa Afrika mashariki na kati, CECAFA limekikataa...