SIMBA WATUA SALAMA BUKOBA, WAFANYA MAZOEZI YAO YA MWISHO KAITABA LEO BILA KOCHA WAO LOGA!!, KESHO NI PATASHIKA KAGERA SUGAR v SIMBA SC SIMBA WATUA SALAMA BUKOBA, WAFANYA MAZOEZI YAO YA MWISHO KAITABA LEO BILA KOCHA WAO LOGA!!, KESHO NI PATASHIKA KAGERA SUGAR v SIMBA SC

  Wachezaji wa Simba wakishuka kwenye basi lao kuingia kwenye uwanja wa Kaitaba, Tayari kufanya mazoezi kujiweka fiti na mtanange wa ...

Read more »

TAARIFA RASMI YA YANGA KUHUSU SAKATA LA OKWI, KASEJA NA CHUJI TAARIFA RASMI YA YANGA KUHUSU SAKATA LA OKWI, KASEJA NA CHUJI

Hakuna mchezaji yoyote aliyefukuzwa kwenye timu baada ya kupoteza mchezo dhidi ya Mgambo Shooting mwishoni mwa wiki, taarifa hizo zinasam...

Read more »

TAJIRI CHIPUKIZI WA WASANII, YOUNG MILLIONARE TANZANIA TAJIRI CHIPUKIZI WA WASANII, YOUNG MILLIONARE TANZANIA

UTAJIRI wa komediani maarufu Bongo,  Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ ni kufuru! Tena unatisha na sasa anaonekana kuwa miongoni mwa w...

Read more »

FRANK DOMAYO ASAJILIWA SIMBA - KUTUA MSIMBAZI MSIMU UJAO FRANK DOMAYO ASAJILIWA SIMBA - KUTUA MSIMBAZI MSIMU UJAO

Siku chache baada ya kugundulika mkataba wake ndani ya klabu ya Yanga unamalizika mwishoni mwa msimu huu, klabu ya Simba imefanikiwa kums...

Read more »

MATOKEO LIGI KUU UINGELEZA MATOKEO LIGI KUU UINGELEZA

makosa ya john terry yaigharimu chelsea katika mbio za ubingwa,crystal 1 - 0 chelsea man u 4-1 aston villa  arsenal 1 - 1 man city

Read more »

 HII NDIO LIST NZIMA YA WATEULE TUZO ZA KILLI 2014 HII NDIO LIST NZIMA YA WATEULE TUZO ZA KILLI 2014

Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) limetangaza rasmi matokeo ya mchakato wa kuwapata wateule rasmi yaani ‘nominees’ wa vipengele 34 vya tuz...

Read more »

MECHI YA AZAM, SIMBA YAWA GUMZO DAR, MBEYA MAMBO TOFAUTI, KILA KONA MBEYA CITY VS PRISONS JUMAPILI!! MECHI YA AZAM, SIMBA YAWA GUMZO DAR, MBEYA MAMBO TOFAUTI, KILA KONA MBEYA CITY VS PRISONS JUMAPILI!!

WAKATI jijini Dar es saalam pambano la jumapili la ligi kuu soka Tanzania bara baina ya vinara    Azam fc dhidi ya    wekundu wa Msimb...

Read more »

PEP GUARDIOLA AIONGOZA BAYERN KUTWAA UBINGWA WA HARAKA ZAIDI KATIKA HISTORIA YA BUNDESLIGA PEP GUARDIOLA AIONGOZA BAYERN KUTWAA UBINGWA WA HARAKA ZAIDI KATIKA HISTORIA YA BUNDESLIGA

History iliandikwa jana usiku! FC Bayern München wamefanikiwa kutwaa ubingwa wa 23 wa Bundesliga baada ya michezo 2...

Read more »

JOHAN CRUYFF: "NEYMAR NDIO TATIZO FC BARCELONA" JOHAN CRUYFF: "NEYMAR NDIO TATIZO FC BARCELONA"

Gwiji wa soka wa FC Barcelona Johan Cruyff anaamini kwamba Neymar ni tatizo kubwa ndani ya klabu ya Barca, hii ni kutokana na msha...

Read more »

KAMBI YA MAREKEBISHO YA TAIFA STARS YAANZA TUKUYU KAMBI YA MAREKEBISHO YA TAIFA STARS YAANZA TUKUYU

Na Mwandishi maalumu, Tukuyu Wachezani 29 kati ya 34 waliochaguliwa katika programu maalumu ya marekebisho ya timu ya Taifa inayoend...

Read more »
 
Top
Top