WACHEZAJI AMBAO WANAWEZA CHUKUA NO 7 YA LUIS SUAREZ

ni raia wa colombia ni mchezaji mwenye kasi ana chezea fc porto

ni kijana mdogo mwenye umri wa miaka 22.amefananishwa na ronaldo de lima kwa kiwango chake
Roberto Soldado

ni mchezaji anaye windwa pia na tottenham amecheza michezo141 kafunga goli 81

ni mchezaji mahili wa benfica kwa kiwango chake anachokionyesha kwa sasa

ni mchezaji aliye onyesha uwezo mzuri katika michuano ya kombe la mabala lililo isha mwezi jana nchini brazil.
Jackson Martinez
ni raia wa colombia ni mchezaji mwenye kasi ana chezea fc porto
Luis Muriel
ni kijana mdogo mwenye umri wa miaka 22.amefananishwa na ronaldo de lima kwa kiwango chake
Roberto Soldado
ni mchezaji anaye windwa pia na tottenham amecheza michezo141 kafunga goli 81
Oscar Cardozo
ni mchezaji mahili wa benfica kwa kiwango chake anachokionyesha kwa sasa
Fred
ni mchezaji aliye onyesha uwezo mzuri katika michuano ya kombe la mabala lililo isha mwezi jana nchini brazil.
0 maoni:
Post a Comment