MOJA YA MATUKIO KATIKA KUFANYWA NA WASANII WA BONGO FLAVA.
| Nikizungumza jambo mbele ya wageni waalikwa nikiwa na Mzee Gurumo pembeni... |
| Mzee Gurumo akionesha Ufunguo juu baada ya kumkabidhi Gari kama zawadi yangu kwake.... |
| Furaha iliyoje ndani ya Moyo wangu kupewa baraka na Mzee wangu..... |
| Sauti yake tu.....Iliwafanya wageni wote kuimba nae muda huu.... |
| Tukelekea Nje kwenda kumkabidhi Mzee Gurumo mkoko wake..... |
| Pembeni Mwangu ndio Gari niliyomchukulia Mzee Gurumo..... |
0 maoni:
Post a Comment