![]() |
| Wakazi wa Mtwara wajitokeza kwa wingi katika Tamasha la Burudani la Serengeti Fiesta 2013. |
![]() |
| Dj Mully B akiporomosha mawe katika tamasha la serengeti Fiesta 2013 Mtwara. |
![]() |
| Haya sasa naona viduku vimetawala hapa kwa wakazi wa Mtwara, ikiwa ni moja ya shangwe ya Serengeti Fiesta 2013. |
![]() |
| Hapa Baba Levo akiporomosha shangwe kwa wakazi wa Mtwara. |
![]() |
| Ile kitu cha majanga nayo ilidondoshwa na Snura katika tamasha la Serengeti Fiesta 2013 Mtwara, akiwadatisha na ile staili ya pekecha pekecha wakazi wa Mtwara. |
![]() |
| Linah kutoka THT akifanya yake kwa stage |
![]() |
| Young Killer msanii wa Hip Hop kutoka Mwanza anaetamba na kibao chake cha Mrs. Supper Star akifanya yake kwa stage. |
PICHA NA MICHUZI JR











0 maoni:
Post a Comment