MASHABIKI 15 WAFARIKI MECHI YA AS VITA VS TP MAZEMBE KINSHASA, SERIKALI DRC YAANZA UCHUNGUZI MARA MOJA
Na Baraka Mpenja, Dar es salaam MASHABIKI zaidi ya 15 wamefariki dunia katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ...
MASHABIKI 15 WAFARIKI MECHI YA AS VITA VS TP MAZEMBE KINSHASA, SERIKALI DRC YAANZA UCHUNGUZI MARA MOJA
Na Baraka Mpenja, Dar es salaam MASHABIKI zaidi ya 15 wamefariki dunia katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ...
KUMEKUCHA YANGA SC, TWITE AONGEZA MKATABA
Mlinzi kiraka wa timu ya Young Africans Mbuyu Junior Twite leo ameongeza mkataba mpya wa mwaka mmoja kuendelea kuitumikia klabu ya Yanga ba...
NGORONGORO HEROES YACHAPWA 2-0 NA NIGERIA, SASA SIMKOKO AHITAJI MABAO 3-0 UGENINI
Na Baraka Mpenja, Dar es salaam MABAO 2-0 waliyopata Nigeria dhidi ya timu ya taifa ya Tanzania ya vijana chini ya umri wa miaka 20,Ngoron...
MANJI AUNGURUMA YANGA SC, ATAMBA KUSAJILI NYOTA WAKALI ZAIDI YA DOMAYO, KAVUMBAGU, UWANJA WA KISASA LAZIMA AJENGE
Mwenyekiti wa Young Africans Bw Yusuf Manji amesema kuondoka kwa wachezaji wao wawili Didier Kavumbagu na Frank Domayo sio mwisho wa tim...
YANGA, TPB WAJA NA ATM
Klabu ya Young Africans imeeingia makubaliano na Benki ya Posta nchini juu ya mabadiliko ya utengenezaji wa kadi za wanachama kutoka...
VIWANGO VYA FIFA MWEZI MEI 2014, BRAZIL WAPANDA MPAKA NAFASI YA NNE
WAKATI siku za kuanza kwa kombe la dunia nchini Brazil zikizidi kuyoyoma, FIFA wametoa orodha ya viwango vya ubora kabla ya mataifa mbali...
PEP GAURDIOLA HATARINI KUPOTEZA UMOJA WA WACHEZAJI BAYERN, KLABU ZA ENGLAND ZAFUATILIA `NGADO KWA NGADO`
Presha juu: Pep Guardiola yupo hatarini kupoteza umoja katika vyumba vya kubadilishia nguo katika klabu ya Bayern Munich PEP G...
MAJANGA MAN CITY! AGUERO KUWAKOSA ASTON VILLA ETIHAD
KOCHA wa Manchester Cuty, Manuel Pellegrini amethibitisha kuwa mshambuliaji wake, Sergio Kun Agero ataikosa mechi ya kesho jumatano dhidi...
SIMBA YAKABIDHIWA KATIBA YAKE, MCHAKATO WA UCHAGUZI KUANZA
KATIBA ya Wekundu wa msimbazi Simba sc imekamilika baada ya kufanyiwa marekebisho na kukabidhiwa kwa uongozi wa klabu hiyo chini ya mw...
CHELSEA YASUBIRI MIUJIZA KUTWAA UBINGWA, YAKAZIWA NA NOWRICH, ARSENAL MWENDO MDUNDO UEFA
CHELSEA imeshindwa kupanda kileleni katika msimamo wa ligi kuu soka nchini England baada ya kutoka suluhu pacha ya bila kufungana na Nowri...