MASHABIKI 15 WAFARIKI MECHI YA AS VITA VS TP MAZEMBE KINSHASA, SERIKALI DRC YAANZA UCHUNGUZI MARA MOJA MASHABIKI 15 WAFARIKI MECHI YA AS VITA VS TP MAZEMBE KINSHASA, SERIKALI DRC YAANZA UCHUNGUZI MARA MOJA

Na Baraka Mpenja,  Dar es salaam MASHABIKI zaidi ya 15 wamefariki dunia katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ...

Read more »

KUMEKUCHA YANGA SC, TWITE AONGEZA MKATABA KUMEKUCHA YANGA SC, TWITE AONGEZA MKATABA

Mlinzi kiraka wa timu ya Young Africans Mbuyu Junior Twite leo ameongeza mkataba mpya wa mwaka mmoja kuendelea kuitumikia klabu ya Yanga ba...

Read more »

NGORONGORO HEROES YACHAPWA 2-0 NA NIGERIA, SASA SIMKOKO AHITAJI MABAO 3-0 UGENINI NGORONGORO HEROES YACHAPWA 2-0 NA NIGERIA, SASA SIMKOKO AHITAJI MABAO 3-0 UGENINI

Na Baraka Mpenja, Dar es salaam MABAO 2-0 waliyopata Nigeria dhidi ya timu ya taifa ya Tanzania ya vijana chini ya umri wa miaka 20,Ngoron...

Read more »

MANJI AUNGURUMA YANGA SC, ATAMBA KUSAJILI NYOTA WAKALI ZAIDI YA DOMAYO, KAVUMBAGU, UWANJA WA KISASA LAZIMA AJENGE MANJI AUNGURUMA YANGA SC, ATAMBA KUSAJILI NYOTA WAKALI ZAIDI YA DOMAYO, KAVUMBAGU, UWANJA WA KISASA LAZIMA AJENGE

Mwenyekiti wa Young Africans Bw Yusuf Manji amesema kuondoka kwa wachezaji wao wawili Didier Kavumbagu na Frank Domayo sio mwisho wa tim...

Read more »

YANGA, TPB WAJA NA ATM YANGA, TPB WAJA NA ATM

Klabu ya Young Africans imeeingia makubaliano na Benki ya Posta nchini juu ya mabadiliko ya utengenezaji wa kadi za wanachama kutoka...

Read more »

VIWANGO VYA FIFA MWEZI MEI 2014, BRAZIL WAPANDA MPAKA NAFASI YA NNE VIWANGO VYA FIFA MWEZI MEI 2014, BRAZIL WAPANDA MPAKA NAFASI YA NNE

WAKATI siku za kuanza kwa kombe la dunia nchini Brazil zikizidi kuyoyoma, FIFA wametoa orodha ya viwango vya ubora kabla ya mataifa mbali...

Read more »

PEP GAURDIOLA HATARINI KUPOTEZA UMOJA WA WACHEZAJI BAYERN, KLABU ZA ENGLAND ZAFUATILIA `NGADO KWA NGADO` PEP GAURDIOLA HATARINI KUPOTEZA UMOJA WA WACHEZAJI BAYERN, KLABU ZA ENGLAND ZAFUATILIA `NGADO KWA NGADO`

  Presha juu: Pep Guardiola yupo hatarini kupoteza umoja katika vyumba vya kubadilishia nguo katika klabu ya  Bayern Munich PEP G...

Read more »

MAJANGA MAN CITY! AGUERO KUWAKOSA ASTON VILLA ETIHAD MAJANGA MAN CITY! AGUERO KUWAKOSA ASTON VILLA ETIHAD

KOCHA wa Manchester Cuty, Manuel Pellegrini amethibitisha kuwa mshambuliaji wake, Sergio Kun Agero ataikosa mechi ya kesho jumatano dhidi...

Read more »

SIMBA YAKABIDHIWA KATIBA YAKE, MCHAKATO WA UCHAGUZI KUANZA SIMBA YAKABIDHIWA KATIBA YAKE, MCHAKATO WA UCHAGUZI KUANZA

KATIBA ya Wekundu wa msimbazi Simba sc  imekamilika baada ya kufanyiwa marekebisho na kukabidhiwa  kwa uongozi wa klabu hiyo chini ya mw...

Read more »

CHELSEA YASUBIRI MIUJIZA KUTWAA UBINGWA, YAKAZIWA NA NOWRICH, ARSENAL MWENDO MDUNDO UEFA CHELSEA YASUBIRI MIUJIZA KUTWAA UBINGWA, YAKAZIWA NA NOWRICH, ARSENAL MWENDO MDUNDO UEFA

CHELSEA imeshindwa kupanda kileleni katika msimamo wa ligi kuu soka nchini England baada ya kutoka suluhu pacha ya bila kufungana na Nowri...

Read more »
 
Top
Top